Mfanyabiashara Kinyoro apeta Jimbo la Handeni Mjini

 

Kamati Kuu ya Halmashauri ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa imempitisha Mfanyabiasha maarufu Salum Moud Kinyoro 'Kibakuli' kuwania ubunge wa Jimbo la Handeni Mjini pamoja na wagombe wengine watano.

Wagombe wengine waliopitishwa katika jimbo hilo ni Kwagilwa Reuben, Mariam Gerald, Sonia Juma, Hafidhi Seif pamoja na Hamis Hamad.

Katibu wa Itikadi na Uenezi, Amos Makala ametangaza majina hayo  leo Julai 29, 2025.




Chapisha Maoni

0 Maoni