EWURA yatangaza bei mpya za mafuta Julai

 

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zilizoanza kutumika kuanzia Jumanne ya tarehe 1 Julai 2025 saa 6:01 usiku sawia na Sheria ya Fedha ya Mwaka 2025 ambayo itaanza kutumika kuanzia tarehe 1 Julai 2025.


Kwa taarifa zadi ya bei za mafuta zilizotangazwa na EWURA bofya link hii hapa chini:- 

https://www.ewura.go.tz/uploads/documents/sw-1751343681-Cap%20Prices%20for%20July%20%202025%20-%20Kiswahili.pdf

Chapisha Maoni

0 Maoni