Mamlaka ya Udhibiti
wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta
ya petroli hapa nchini zilizoanza kutumika kuanzia Jumanne ya tarehe 1 Julai
2025 saa 6:01 usiku sawia na Sheria ya Fedha ya Mwaka 2025 ambayo itaanza
kutumika kuanzia tarehe 1 Julai 2025.
Kwa taarifa zadi ya bei za mafuta zilizotangazwa na EWURA bofya link hii hapa chini:-
0 Maoni