Shirika la Reli
Tanzania (TRC) limetangaza kuwa linaanza rasmi huduma ya usafirishaji wa mizigo
kwa njia ya reli ya kisasa ya SGR kuanzia kesho Juni 27, 2025.
Taarifa ya TRC
iliyotolewa leo na Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Fredy Mwanjala
imesema huduma hiyo itafanyika kati ya Stesheni ya Pugu Dar es Salaam na
Stesheni ya Ihumwa ya Dodoma.
0 Maoni