Rais Samia aongoza Harambee ya Kituo cha Watoto wenye Mahitaji Maalum

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Watoto wenye mahitaji Maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre kwenye hafla iliyofanyika Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam.

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuongoza Harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre tarehe 05 Juni, 2025.

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuongoza Harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre tarehe 05 Juni, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Zawadi kutoka kwa Watoto wenye Mahitaji Maalumu wakati wa Harambee ya Uchangiaji fedha kwaajili ya Ujenzi wa kituo Cha Watoto wenye Mahitaji Maalumu Cha Kitopeni Diakonia Bagamoyo Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es salaam leo Juni 05,2025.

Viongozi pamoja na wageni mbalimbali wakiwa hafla ya uchangiaji ujenzi wa Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Juni, 2025.

Viongozi pamoja na wageni mbalimbali wakiwa hafla ya uchangiaji ujenzi wa Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Juni, 2025.

Viongozi pamoja na wageni mbalimbali wakiwa hafla ya uchangiaji ujenzi wa Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre katika ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Juni, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Kwaya Kuu ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Kimara wakati ikiimba  kwenye Harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Juni, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Kwaya Kuu ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Kimara wakati ikiimba  kwenye Harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha watoto wenye mahitaji maalum cha Bagamoyo Diaconic Lutheran Centre iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam tarehe 05 Juni, 2025.

Chapisha Maoni

0 Maoni