WAZIRI MKUU, Kassim
Majaliwa jana Mei 27, 2025, alikutana na Waziri wa Ardhi, Miundombinu,
Usafirishaji na Utalii wa Japan,
Mheshimiwa Hiromasa Nakano kwenye
Makao Mkuu ya Wizara hiyo Tokyo Japan.
Aidha, Mheshimiwa
Majaliwa alifanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Wawekezaji katika Sekta
ya Miundombinu la Japan (JAIDA) Miyamoto
Yoichi pamoja na ujumbe wake ambapo walijadiliana kuhusu masuala mbalimbali ya
uwekezaji kwenye sekta za Ardhi, Miundombinu pamoja na Usafirishaji.





0 Maoni