Ajali yakatisha uhai wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO

 

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Aprili 13, 2025 katika ajali iliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara.

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo amefafanua kuwa limetokea kati ya majira ya saa 6 hadi saa 7 usiku wa kuamkia leo.


Chapisha Maoni

0 Maoni