Mwenyekiti wa CCM Rais Samia kuongoza kikao cha NEC Januari 17

 

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CPA Amos Makalla amesema CCM itakuwa na kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kitakachofanyika Jijini Dodoma Januari 17, 2025 chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.



Chapisha Maoni

0 Maoni