Watu wapatao 16 wamekufa kwa moto wa nyika Los Angeles hadi
sasa, ambapo 11 katika eneo la Eaton na watano huko Paisades, huku wengine 13
hawajulikani walipo.
Mji wa Malibu umeathirika kwa moto huo katika eneo la
mashariki, Meya wa mji huo amesema na kuongeza kuwa kuibuka kwa upepo
kutatatiza jitihada za kuzima moto.
Moto mkubwa wa Palisades, unasambaa mashariki na sasa
unatishia makazi ya matajiri ya Brentwood, ambapo mari ya watu kuhama
imetolewa.
0 Maoni