Prof. Janabi Mshauri wa Rais masuala ya Afya na Tiba

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemteua Prof. Mohamed Yakub Janabi kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Afya na Tiba.

Taarifa ya Ikulu aliyoitolewa leo na Katibu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusilika imesema pamoja na nafasi hiyo Prof. Janabi ataendelea kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Chapisha Maoni

0 Maoni