Waziri Mkuu ampa pole Gavana wa BoT aliyefiwa na Baba Mzazi

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimfariji  Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emmanuel Tutuba nyumbani kwa Gavana huyo Oysterbay jijini Dar es salaam alipokwenda kumpa pole November 3, 2024 kufuatia kifo cha baba yake  mzazi, Mzee John Tutuba kilichotokea katika Hospitali ya Shifaa Pan African ya Kinondoni jijini Dar es salaam alikokuwa akitibiwa, November 1, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Mzee John Tutuba,  baba mzazi wa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania , Emmanuel Tutuba, nyumbani kwa Gavana huyo Oysterbay jijini Dar es salaam  November 3, 2024. Mzeee Tutuba alifariki katika Hospitali ya Shifaa Pan African ya Kinondoni jijini Dar es salaam alikokuwa akitibiwa , November 1, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na  Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emmanuel Tutuba nyumbani kwa Gavana huyo Oysterbay jijini Dar es salaam alipokwenda kumpa pole November 3, 2024, kufuatia kifo cha baba yake  mzazi, John Tutuba kilichotokea katika Hospitali ya Shifaa Pan African ya Kinondoni jijini Dar es salaam alikokuwa akitibiwa, November 1, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza neno la faraja kwa   Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emmanuel Tutuba, (wa pili kushoto), wanafamilia na waombolezaji, nyumbani kwa Gavana huyo Oysterbay jijini Dar es salaam alipokwenda kumpa pole November 3, 2024 kufuatia kifo cha baba yake  mzazi, Mzee John Tutuba kilichotokea katika Hospitali ya Shifaa Pan African ya Kinondoni jijini Dar es salaam alikokuwa akitibiwa, November 1, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Chapisha Maoni

0 Maoni