Uongozi wa
timu ya Yanga umetoa taarifa ya kuwa umevunja mkataba wake na Kocha Mkuu wa
kikosi cha kwanz, Andel Mguel Gamondi.
Pia, uongozi
wa Yanga umesitisha mkataba wa kocha msaidizi wa kikosi cha kwanza, Moussa Ndaw.
Uongozi wa
timu ya Yanga umetoa taarifa ya kuwa umevunja mkataba wake na Kocha Mkuu wa
kikosi cha kwanz, Andel Mguel Gamondi.
Pia, uongozi
wa Yanga umesitisha mkataba wa kocha msaidizi wa kikosi cha kwanza, Moussa Ndaw.
0 Maoni