Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka kiganja kwenye
kishikwambi kuashiria Uzinduzi wa
Taarifa za Maboresho ya Mazingira ya Uwekezaji na Biashara Pamoja na Nyenzo za Usimamizi wa Uwekezaji . Uzinduzi huo ulifanyika kwenye
ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salam, Septemba 11, 2024. Kushoto ni
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji , Profesa Kitila Mkumbo na
kulia ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais
Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Nyongo.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Taarifa za Maboresho ya Mazingira ya Uwekezaji na Biashara Pamoja na Nyenzo za Usimamizi wa Uwekezaji kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salam, Septemba 11, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko wakionesha nakala za Taarifa za Maboresho ya Mazingira ya Uwekezaji na Biashara Pamoja na Nyenzo za Usimamizi wa Uwekezaji baada ya Waziri Mkuu kuzindua taarifa hizo kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salam, Septemba 11, 2024. Wa tatu kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, wa pili kushoto ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Nyongo, wa pili kula ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Tausi Kida, kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Charamila. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya washiriki wa Uzinduzi wa Taarifa za Maboresho ya Mazingira ya Uwekezaji na Biashara Pamoja na Nyenzo za Usimamizi wa Uwekezaji wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza katika uzinduzi huo kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salam, Septemba 11, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Maoni