Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia
Suluhu Hassan leo August 08,2024 ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Jengo la
Maabara Kuu ya Kilimo Inayojengwa Mji wa Serikali Mkoani Dodoma ambayo ujenzi
wake umegharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 16.
Jengo Hilo la Maabara ya Kilimo lina Gorofa nne na ndani yake zitakuwepo maabara takribani 14 ambazo zitawawezesha wataalamu na watafiti Nchini kufanya tafiti.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akichota udongo wakati akipanda mti leo August 08,2024 katika hafla ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Jengo la Maabara Kuu ya Kilimo Inayojengwa Mji wa Serikali Mkoani Dodoma.
0 Maoni