Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi wa Tanzania
nchini Italia Marco Lombardi ambaye amemaliza muda wake nchini, katika Ofisi
ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni Jijini Dar es Salaam, Juni 09, 2024 (Picha na
ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Italia Marco Lombardi ambaye amemaliza muda wake nchini, katika Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni Jijini Dar es Salaam, Juni 09, 2024 (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpa zawadi ya kumbukumbu ya Picha Balozi wa Tanzania nchini Italia Marco Lombardi ambaye amemaliza muda wake nchini, katika Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni Jijini Dar es Salaam, Juni 09, 2024 (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).
0 Maoni