Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akiteta jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya Extractive Industries
Transparency Initiative (EITI), Waziri Mkuu Mstaafu wa New Zealand Mhe. Helen
Clark, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akizungumza na Mwenyekiti wa Bodi ya Extractive Industries Transparency
Initiative (EITI), Waziri Mkuu Mstaafu wa New Zealand Mhe. Helen Clark
aliyeambatana na Ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Extractive
Industries Transparency Initiative (EITI), Waziri Mkuu Mstaafu wa New Zealand
Mhe. Helen Clark, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.
0 Maoni