Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole
Ikulu Migombani kutoka kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wamasai waishio
Zanzibar (ERETO), Ndg. Thomas Makau
Lepachu na ujumbe wake kufuatia kifo cha Baba yake Mzazi, Rais Mstaafu wa
Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi
aliyefariki dunia tarehe: 29 Februari 2024, Dar es Salaam na kuzikwa tarehe: 02
Machi 2024, Mangapwani, Mkoa wa Kaskazini Unguja .
Jumuiya hiyo wamemkabidhi Mbuzi na Kondoo ikiwa ni sehemu ya rambirambi yao kwa utamaduni wao.
0 Maoni