RATIBA YA MSIBA WA HAYATI EDWARD
NGOYAI LOWASSA, WAZIRI MKUU MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MONDULI, ARUSHA
JUMAMOSI,
TAREHE 17 FEBRUARI, 2024
Muda |
Tukio |
Mhusika |
Saa
12.00 - 01.00 Asubuhi |
Wananchi kuwasili katika Viwanja vya
Familia, Monduli |
· Kamati
ya mazishi Kitaifa · Familia |
Saa
01.00 - 02.00 |
Chai |
Kamati
ya mazishi Kitaifa |
Saa
2.00 -02.20 |
·
Viongozi wa Kimila kuwasili ·
Viongozi wa Dini kuwasili |
Kamati
ya Mazishi Kitaifa |
Saa
2.20 – 03.00 |
·
Viongozi Wakuu wa Kitaifa kuwasili ·
Mhe. Rais kuwasili katika Viwanja
vya Familia na kusaini kitabu cha Maombelezo |
Kamati
ya Mazishi Kitaifa |
Saa
3.00 – 03.20 |
Familia wakiongozwa na Mama Regina
Lowassa kuwasili |
Kamati
ya Mazishi Kitaifa |
Saa
3.20 – 03.40 |
Mwili wa Hayati Edward Ngoyai
Lowassa kuwasili eneo la Ibada |
Kamati
ya Mazishi Kitaifa |
Saa
3.40 – 03.45 |
·
Wimbo wa Taifa ·
Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki |
JWTZ
Brass band |
Saa
3.45 – 04.05 |
Mhe. Rais kuwaongoza Viongozi Wakuu
wa Kitaifa kutoa heshima za Mwisho |
Kamati
ya Mazishi Kitaifa |
Saa
04.05 – 04.25 |
Familia kutoa heshima za Mwisho |
Kamati
ya Mazishi Kitaifa |
Saa 04.25 – 06.05 Mchana |
Ibada Takatifu |
Viongozi
wa Kanisa - KKKT |
Saa 06.05 – 06.35 |
Mazishi ya Kiserikali |
· Kamati
ya mazishi ya Kitaifa · Familia |
Saa 06.35 – 07.05 |
Mashada
ya Maua |
MC |
Saa 07.05 -07.20 |
Nyimbo
za Maombelezo ·
Wasanii Marafiki wa Familia ·
Peter
Msechu ·
Mrisho
Mpoto |
MC |
Saa 07.20 – 07. 30 |
Wasifu wa Hayati Edward Ngoyai
Lowassa, Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania |
Bw.
Juma Mkomi, Katibu Mkuu – UTUMISHI |
Saa 07.30 – 07.40 |
Salamu za rambirambi ·
Salamu za Mkoa wa Arusha ·
Bunge la Jamhuri ya Muungano |
·
Mh. John Mongela, Mkuu wa Mkoa wa
Arusha ·
Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania |
Saa 07.40 -07.45 |
Salamu za Familia |
Mhe.
Fredrick Lowassa (Mb) |
Saa 07.45 -07.55 |
Salamu za Mwenyekiti wa Kamati ya
Kitaifa ya Mazishi na Kumkaribisha Mheshimiwa Rais kutoa salamu za pole |
Mhe.
Kassim M. Majaliwa (Mb), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na
Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Mazishi |
Saa 07.55 – 08.25 |
Salamu
za Pole za Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania |
Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania |
Saa 08.25 – 09.05 Alasiri |
Viongozi mbalimbali na wananchi
kuondoka eneo la msiba |
Kamati
ya mazishi Kitaifa |
Saa 09.05 Alasiri |
MWISHO |
|
0 Maoni