Serikali ya awamu ya sita imeendelea kutimiza ahadi ya kugawa chakula (mahindi) bure kwa wananchi waliohama kwa hiari kutoka hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomera Mkoani Tanga
Dhumuni la kugawa mahindi hayo kwa wananchi kila baada ya
miezi mitatu (03) ni utekelezaji wa ahadi ya Serikali kutoa chakula bure kwa
wananchi hao kwa muda wa miezi 18 wakati wakiendelea kuzoea mazingira mapya
waliyohamia kabla ya kulima na kuvuna kupitia mashamba waliyopewa na Serikali.
0 Maoni