Salamu za rambirambi zimeanza kutolewa baada ya wanaume watano waliokuwamo kwenye nyambizi ya Titan kufa.
Waliokufa ni
Hamish Harding, 58, Shahzada Dawood, 48, na mwanae Suleman Dawood, 19,
Paul-Henri Nargeolet, 77, pamoja na Stockton Rush, 61.
Familia zao
zimekumbwa na majonzi makubwa, zikielezea safari yao ya mwisho ya uvumbuzi
iliyotwa uhaia wao.
Chombo hicho
cha roboti cha kuzama majini kilipata hitilafu kikiwa majini umbali wa mita 480
kutoka kwenye mabaki ya meli ya Titanic, siku ya Alhamisi.
0 Maoni