Rais Samia apokea ujumbe maalum wa Rais Tshisekedi

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, uliowasilishwa kwake na Mjumbe Maalum na Waziri wa Ushirikiano wa Kikanda wa nchi hiyo, Mhe. Floribert Anzuluni, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 24 Oktoba, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi na Waziri wa Ushirikiano wa Kikanda wa Nchi hiyo, Mhe. Floribert Anzuluni, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 24 Oktoba, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi na Waziri wa Ushirikiano wa Kikanda wa Nchi hiyo, Mhe. Floribert Anzuluni, mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 24 Oktoba, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi na Waziri wa Ushirikiano wa Kikanda wa Nchi hiyo, Mhe. Floribert Anzuluni, mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 24 Oktoba, 2025.

Chapisha Maoni

0 Maoni