Mgombea Urais wa CCM apiga kampeni Manyara

 

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Manyara kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Babati mjini katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani humo tarehe 04 Oktoba, 2025.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwakabidhi Ilani ya Uchaguzi Wagombea Ubunge wa majimbo mbalimbali ya Mkoa wa Manyara mara baada ya kuwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wa Kampeni uliofanyika Babati mjini mkoani humo tarehe 04 Oktoba, 2025.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwakabidhi Ilani ya Uchaguzi Wagombea Ubunge wa majimbo mbalimbali ya Mkoa wa Manyara mara baada ya kuwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wa Kampeni uliofanyika Babati mjini mkoani humo tarehe 04 Oktoba, 2025.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwakabidhi Ilani ya Uchaguzi Wagombea Ubunge wa majimbo mbalimbali ya Mkoa wa Manyara mara baada ya kuwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wa Kampeni uliofanyika Babati mjini mkoani humo tarehe 04 Oktoba, 2025.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwakabidhi Ilani ya Uchaguzi Wagombea Ubunge wa majimbo mbalimbali ya Mkoa wa Manyara mara baada ya kuwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wa Kampeni uliofanyika Babati mjini mkoani humo tarehe 04 Oktoba, 2025.

Chapisha Maoni

0 Maoni