Kampeni za urais za mgombea wa CCM Karatu

 

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili Karatu kwa ajili ya kuzungumza na wananchi katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani Arusha tarehe 03 Oktoba, 2025.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili Karatu kwa ajili ya kuzungumza na wananchi katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani Arusha tarehe 03 Oktoba, 2025.

Shamra shamra za wananchi wa Karatu mkoani Arusha walihudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi za mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 03 Oktoba, 2025.

Shamra shamra za wananchi wa Karatu mkoani Arusha walihudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi za mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 03 Oktoba, 2025.

Shamra shamra za wananchi wa Karatu mkoani Arusha walihudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi za mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 03 Oktoba, 2025.

Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi za mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 03 Oktoba, 2025 Karatu mkoani Arusha

Chapisha Maoni

0 Maoni