Rais Samia akutana na walinzi wa jadi (Sungusungu)

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono walinzi wa jadi (Sungusungu) kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora waliokuwa wakipita mbele ya jukwaa kuu katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025.

Makundi mbalimbali ya walinzi wa jadi (Sungusungu) pamoja na bodaboda kutoka mikoa ya Mwanza, Simiyu, Geita, Shinyanga na Tabora yakipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025.

Matukio mbalimbali katika mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja makundi mbalimbali ya walinzi wa jadi (Sungusungu) katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025.

Matukio mbalimbali katika mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja makundi mbalimbali ya walinzi wa jadi (Sungusungu) katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025.

Matukio mbalimbali katika mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja makundi mbalimbali ya walinzi wa jadi (Sungusungu) katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025.

Matukio mbalimbali katika mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja makundi mbalimbali ya walinzi wa jadi (Sungusungu) katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza tarehe 20 Juni, 2025.



Chapisha Maoni

0 Maoni