Dkt. Biteko akifuatilia hotuba ya Rais ya kuhitimisha shughuli za bunge la 12

 

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko akifuatiliwa kwa makini hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 27 Juni, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia na kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 27 Juni, 2025.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko akifurahia hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 27 Juni, 2025.

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko akipiga makofi kufurahia hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhitimisha shughuli za Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 27 Juni, 2025.

Chapisha Maoni

0 Maoni