Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi alipowasili kwenye Kituo cha Mikutano
cha Kikataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam kufungua Kilele cha
Maadhimisho ya Miaka 50 ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini na
Miaka 30 ya VETA, Machi 18, 2025. Kutoka kushoto ni Waziri wa Elimu, Syansi na
Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, waziri
wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Dennis Londo, na kulia ni Naibu Waziri wa
Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omari Kipanga. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kasim
Majaliwa akiongozwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf
Mkenda kuingia ukumbi wa mikutano wa Kituo cha Mikutano cha Kikataifa cha
Julius Nyerere jijini Dar es salaam kufungua Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50
ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Udundi Stadi inchini na Miaka 30 ya VETA,
Machi 18, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akimsikiliza, Joshua Kingu mwanachuo kutoka Chuo cha VETA
Kipawa jijini Dar es salaam, fani ya Mekatroniki alipotoa maelezo kuhusu mfano
wa kiwanda unaotumika kufundishia,
alipotembelea banda la maonesho la Chuo hicho kabla ya kufungua Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50
ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini na Miaka 30 ya VETA. Kwenye Kituo cha Mikutano
cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Machi 18, 2025. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Abdallah Mohammed , Mkurugenzi
wa Vyuo na Mafunzo, Mamlaka ya Mafunzo
ya Amali Zanzibar kuhusu hotipoti iliyotengenezwa kwa kutumia mti alipotembelea
banda la manesco la mamalaka hiyo kabla ya kufungua Kilele cha Maadhimisho ya
Miaka 50 ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini na Miaka 30 ya
VETA. Kwenye Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Machi
18, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya Fay Fashion Tanzania, Gregory (kushoto) kuhusu bidha mbalimbali zinazotengenezwa na kampuni hiyo alipotembelea banda la maonesho la kampuni hiyo kabla ya kufungua Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi inchini na Miaka 30 ya VETA. Kwenye Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Machi 18, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiingia kwenye ukumbi wa mikutano wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam kufungua Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 50 ya Utoaji wa Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini na Miaka 30 ya VETA, Machi 18, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Maoni