Majaliwa mgeni rasmi Mkutano Mkuu wa CCM jimbo la Maswa Mashariki

 

Mjumbe  wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi alipowasili kwenye Uwanja wa  Nguzo Nane wilayani Maswa  ambapo alikuwa Mgeni Rasmi katika Mkutano  wa  Mkuu wa CCM Jimbo la Maswa Mashariki  Mkoani Simiyu, Februari 16, 2025 .  Kushoto ni Mbunge wa Maswa Mashariki na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Nyongo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza katika Mkutano Mkuu wa CCM Jimbo la Maswa Mashariki uliofanyika kwenye Uwanja wa Nguzo Nane,  Maswa mkoani Simiyu, Februari 16, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Baadhi ya washirki wa Mkutano Mkuu, Jimbo ala Makwa Mashariki   wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya  Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM , Waziri Mkuu Kasssim Majaliwa alipowahutubia kwenye uwanja wa  Nguzo Nane, Maswa, Februari 16, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akipokea heshima kutoka kwa Vijana wa CCM alipowasili kwenye Uwanja wa  Nguzo Nane,  Maswa kuwa Mgeni Rasmi katika Mkutano Mkuu wa Jimbo la Maswa Mashariki Mkoani Simiyu, Februari 16, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akimpongeza Mbunge wa Maswa Mashariki na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Nyongo, katika Mkutano Mkuu wa CCM Jimbo la Maswa Mashariki uliofanyika kwenye Uwanja wa Nguzo Nane,  Maswa mkoani Simiyu, Februari 16, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Chapisha Maoni

0 Maoni