Rais Samia amteua James Kaji kuwa DG wa NIDA

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mkoani Kilimanjaro James Wilbert Kaji kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).



Chapisha Maoni

0 Maoni