Bei za mafuta ya Petroli na Dizeli zashuka Septemba

 

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zlizoanza kutumika kuanzia Jumatano ya tarehe 3 Septemba 2025 saa 6:01 usiku.

Kwa taarifa kamili ya bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli bofya link hapa chini:-

https://www.ewura.go.tz/uploads/documents/sw-1756846864-Bei%20Kikomo%20za%20Bidhaa%20za%20Mafuta%20Septemba%202025%20.pdf

Chapisha Maoni

0 Maoni