Waziri Mkuu ashiriki Siku ya Ushirika Maonesho ya Nane Nane

 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia mabwawa ya kisasa ya ufungaji wa Samaki alipotembelea eneo la Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwenye viwanja vya Maonesho ya Nanenane, Nzuguni, jijini Dodoma Agosti 03,2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia mabwawa ya kisasa ya ufungaji wa Samaki alipotembelea eneo la Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwenye viwanja vya Maonesho ya Nanenane, Nzuguni, jijini Dodoma Agosti 03,2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipewa maelezo na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli kuhusu zana za kisasa alipotembelea eneo la Wizara ya Kilimo kwenye viwanja vya Maonesho ya Nanenane, Nzuguni, jijini Dodoma Agosti 03,2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikabidhiwa tuzo na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tito Haule ya kutambua mchango wake katika kuendeleza Ushirika nchini, wakati wa Siku ya  Ushirika ikiwa ni sehemu ya sharashamra za kuelekea maadhimisho ya maonesho ya sherehe za wakulima, wafugaji na wavuvi kwenye viwanja vya Maonesho ya Nanenane, Nzuguni, jijini Dodoma Agosti 03,2025 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Chapisha Maoni

0 Maoni