Vicheko, vilio majina ya wagombea waliotoboa CCM kutolewa leo

 

Mkutano wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla ulipaswa kufanyika jana saa 11 jioni ya Julai 28, sasa utafanyika leo saa 6:00 mchana  Julai 29, 2025.

Taarifa iliyotolewa leo imesema Katibu wa NEC, Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM CPA Amos Makalla atafanya mkutano na waandishi wa habari kuanza ifikapo saa 6:00 mchana.

Mabadiliko hayo yamekuja baada ya waandishi wa habari kukaa katika ukumbi wa Makao Makuu ya CCM Dodoma jana kwa zaidi ya saa 10 wakisubiri taarifa kutoka kwa Makalla.

Chapisha Maoni

0 Maoni